Irene Paul :Tanzania Inahitaji Zari Wake

Msanii wa bongo movie Irene Paul amewataka wasanii kuacha kuwa wanalalamika wanapoona wasanii wakubwa na wajasiriamali kutoka nje wanakuja Tanzania na kuchukua nafasi zao za umaarufu na biashara badalka yake wakae na kufikiria mtu huyo ana nini ambacho ni special ili na wao waweze kujitengeneza.

Irene anasema kuwa kuna haja kubwa sana kwa watanzania kutengeneza Zari wake ili kuweza kufix matatioz na malalamiko yanayokuwa yanatokea katika nafasi za baishara.

download latest music    

Irene Zaul anasema kuwa njia nzuri ni kuangalia nini Zari anafanya na sifa gani makampuni yanataka mpaka kumtumia zari na kisha kutengeza zari wao ili waweze kuziba nafasi inayozibwa kila siku na zari kutoka nje ya nchi.

Haya yanakuja baada ya hivi karibuni Zari kutoka Uganda na kuja Tanzania na kusaini dili la pampers kutoka nchini na kuwaacha wasanii wengi hasa wa kike kulalamika na kusema kuwa kwanini makampuni inachukua wageni na kuacha wazawa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.