Irene Uwoya Aapa Kutoifuta Tatoo Ya Masogange

Muigizaji wa Bongo movie Irene Uwoya amefunguka na kuweka wazi kuwa kamwe hatakuja kuiguta tatoo ya marehemu Masogange aliyekuwa rafiki yake kipenzi.

Agnes Masogange aliaga dunia mwezi uliopita baada ya kuugua ghafla ugonjwa wa pumu enzi za uhai wake yeye na Uwoya walikuwa marafiki wakubwa sana.

download latest music    

Mara baada ya tu ya Agnes kufariki Irene Uwoya alienda kucheza tatoo Kwenye mkono wake kwa ajili ya kumkumbuka shoga yake huyo.

Kwenye mahojiano aliyofanya na  Ijumaa Wikienda Uwoya amefunguka kuwa aliichora tatoo hiyo kwa kuwa ni jambo lililotoka moyoni mwake na lilitokana na uchungu aliokuwa nao wa kupitiliza kwa rafiki yake huyo hivyo hawezi kuifuta.

Nitaanzaje kuifuta? Ni kitu ambacho nime-kichora mwen-yewe, tena cha kumbukumbu muhi-mu kwenye maisha yangu, jamani itaendelea kudumu kwenye mkono wangu daima“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.