Irene Uwoya Adaiwa Kushindwa Kuwalipa Wafanyakazi Wake.

Habari zilizopo chini ya kapeti zinasema kuwa msanii wa bongo movies Irene Uwoya ameshindwa kuelewana na wafanyakazi wake ambao wamekuwa wakifanya kazi katika baar yake moja iliyopo jijini dar maeneo ya  Magomeni kwa Fundikira kutokana na ukweli kuwa wafanyakazi hao wamekuwa wakilalamika kutokulipwa mishahara kwa zaid ya miezi mitatu sasa.

Moja ya wafanyakazi wa bar hiyo ambae aliomba kutoandikwa jina lake alipokuwa akiongea na kampuni ya habari ya GPL, alisema kuwa wameshindwa kuvumila tabia hiyo ya bosi wao kwa zaidi ya miezi mitatu sasa wamekuwa hawalipwi mishahara yao hivyo yeye na wenzeke watano wameona ni bora waache kazi kwa sababu wanashndwa jinsi a kuishi bila mishahara ilhali wanafanya kazi.

download latest music    

ukweli ni kwamba kama mtu anafahamu ubinadamua uweiz kumuacha mtu hakufanyie kazi kwa zaidi ya mwezi alafu anateseka wewe unashindwa kumlipa mshahara,ukizingatia maisha ya sasa ni magumu sana tumevumilia mpaka tumeshoka kwa kweli.

Mfanyakazi huyo alisema kuwa mara kwa mara wamekuwa wakimuomba bosi wao kuwalipa mshahara lakini amekuwa akiwaambia kesho kesho siku ambayo kwao kila siku imekuwa haifiki.Hata hivyo wafanyakzi hao waliona ni bora kugoma kwa sababu wamechoka kupigwa kalenda kila siku.”siku hizi kazi ni ngumu kupata lakini mpaka mtu anaamua kuacha kazi  ujue kuna taizo kubwa:”

Jitihad a za kuwatafuta zilianza na bahati nzuri alipatikana rafiki wa karibu wa irene uwoya , Mariam Ismail , ambapo yeye pia alikubali kuwa ni kweli bar hiyo imefungwa lakini kwa ajili ya matengenezo kwa sababu mahala hapo palikuwa padoga sana na wateja walikuwa wengi.

Ni kweli kuwa pale pamefungwa kwa sababu  kuna matengenezo tunayafanya ya kupaongeza pale pamekuwa padogo, na wateja wengine walikuwa wanakosa nafasi ya kukaa.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.