Irene Uwoya Awaonya Wanaopiga Picha za Uchi.

Mwanadada Irene Uwoya amefunguka na kuwakanya wasanii wa hasa wa kike kuwa kitendo cha kupiga pich za uchi na kuweka katika mitandao ya kijamii haina umaana wowote kwa sababu kutafuta kiki kupitia swala hilo  linashusha heshima ya mtu.

Mimi nadhani watu hawajui kuwa kuna tofauti ya kuwa star, na kufanya kitu ambacho unakipenda lakini kikakupelekea kuw star.Mimi nawshauri tu watanzania kama unataka kuwa muigizaji ni bora kufuata misingi mizuri tu lakini sio kupiga picha za nusu utupu na kuweka katika mitandao ya kijamii.wanaopiga picha za utupu wanajidhalilisha tu kwakweli.

download latest music    

Mwanadada huyo hivi karibuni pia alikumbwa na skendo ya kuweka picha katika mitandao ya kijamii ambazo hazikuwa za kupndeza na kuitwa BASATA ambao alitakiwa kuomba msamaha Umma  kwa kitendo hicho.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.