Iyobo Nae Akanusha Kuachana na Aunty

Ikiwa ni siku chache sana zimepita tangu mwanadada Aunty Ezekeiel kuonga ktaika vymbo vya habari na kukanusha tetesi zinazosambaa juu yao kuhusu swala la kuachana na baba wa mtoto wake hatimaye pia baba huyo amefunguka na kuongea jambo kuhusu swala hilo.

Moze iyobo ambae ni mpenzi wa aunty ezekiel amefunguka na kusema kuwa hawajawahi kuachana na mwanamke wake ingawa kumekuwa na maneno mengi hapo katikati kutokana na wao kutokuwa wakionekana pamoja kwa sasa .

download latest music    

Hata hivyo Iyobo amefunguka na kusema kuwa kutoana na mfululizo wa matukio ya kazi imekuwa ngumukwao kuonekana pamoja lakini kamwe hawezi kuachana na mwanamke wake.

Mose anasema kuwa wataka wasubir sana kuona yeye akiachana na Mama Cookie kwa sasa wao bado wapo sana na hakuna wa kuwaachanaisha ingawa wamekuwa wakigomaba na kukwaruzana lakini hawzwezi kuachana hata mara moja.

kwa mujibu wa habari za kunyapia nyapia ni kwamba wawili hao walishindwa kuelewana baada ya aunty kukuta smsm za kimapenzi katika simu ya mzazi mwenzie, na imekuwa kitu kisichovumilika.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.