Jackline Wolper Alizwa na Wezi, Aonyesha Masikitiko Yake.

Mwanadada Jackline Wolper ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha watu wanaofanya kazi ya kuiba navyorudisha nyuma maendeleo na kumvunja mtu moyo katika kitu kikubwa alichotaka kuwekeza au kukifanya kwa wakati huo.

Pamoja na kwamna mwanadada huyo hajasema moja kwa moja ni kitu gani amekumbana nacho au ameibiwa nini na ni wapi kati ya nyumbani kwake ao ufisini lakini katika ukurasa wke wa instagram , ameandika caption iliyofanya ielewekek kuwa hivi karibuni Jackline alilizwa na wezi.

download latest music    

Jackline aliandika ‘I cant , Mungu nipe nguvu” huku akiweka picha hii katika ukurasa wake

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.