Jacqueline Wolper afunguka kuhusu mpenzi wake wa kitambo – Ali Kiba

Kabla ya Harmonize kuponyoka naye, Ali Kiba ndo alikua mpenzi wake muigizaji wa filamu za Bongo – Jacqueline Wolper.

Mbaka sahi Wolper anakumbuka mambo mazuri kuhusu ex wake Ali Kiba – muigizaji huyo hakuwa na mabaya ya kusema kuhusu Ali Kiba alipomuongelea kwenye mahojiano na gazeti la Amani.

download latest music    
Jacqueline Wolper

Mambo mawili anayoyapenda Wolper kuhusu Ali Kiba ni upole na unyenyekevu wa superstar huyo, vitu ambavyo Wolper anasema wanaume wengine aliyokutana nao hawana.

“Mengi nakumbuka, kikubwa ni upole wake pamoja na unyenyekevu. Ni tofauti na wanaume wengine ambao nimewahi kukutana nao,” muigizaji huyo ameliambia gazeti la Amani.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere