Jacqueline Wolper afunguka kuhusu sababu ya kuitema CHADEMA

Jacqueline Wolper alifanya kampeni za kumsapoti mgombea uraisi wa chama cha CHADEMA Edward Lowassa katika uchaguzi mkuu uliopita.

Akiongea katika kipindi cha Kikaangoni la EATV, Wolper alisema kuwa alimuunga mkono Lowassa akiwa CCM kabla hata ya kujiunga na chama cha CCK. Alieleza kuwa yeye husupport mtu wala si chama.

download latest music    

Mrembo huyo alisema kuwa alitema CHADEMA kwasababu chama hicho kilishindwa hata kumshukuru kwa kazi aliyoifanya wakati wa uchaguzi mkuu.

Wolper alieleza kuwa hana ubaya wowote na Lowassa, alisema mwanasiasa huyo akisimama tena kuwania urais atamsupport bila shaka.

Tazama mahojiano aliyofanya Wolper katika EATV hapo chini:

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere