Jarida la Forbes Africa la mtaja Jokate miongoni mwa vijana walio na umri chini ya miaka 30 wenye mafanikio mbalimbali mwaka 2017

Jokate ambaye amekuwa akijitahidi na mambo mbalimbali amejipata miongoni mwa watu ambao wametajwa na jarida la Forbes kumsheherekea kwa bidii yake.

Marafiki zake pia hawakuchelewa kwa kumpongeza dada huyu kupitia mitandao yao ya kijamii. Hata hivyo pia Jokate aliweza kuandika ujumbe kupitia Instagram yake kuwashukuru Forbes Africa kuonyesha furaha yake. Aliandika kusema,

download latest music    

“Looks whose on the cover of Forbes Africa with some other amazing young Africans doing amazing things to create wealth and transform our economies? God is so amazing. ???❤️?.”

Akaongeza kusema,

“Never underestimate your own strength. You were born for a purpose and are blessed with an ability to achieve it. Mpaka kieleweke ????”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua