JB- Nimepungua Kwa Sababu Nimepunguza Kula Kula Ovyo

Msanii wa filamu za Kibongo Jacob Stephen maarufu kama JB amefunguka na kudai kuwa siri pekee iliyomfanya mpaka hivi sasa amepungua ni kupunguza Kula Kula ovyo.

Siku chache zilizopita JB ambaye anajulikana kwa kuwa na mwili mkubwa hadi kupewa jina la Bonge la bwana, ameposti picha Instagram akiwa amepungua kupita kiasi.

download latest music    

Kwenye mahojiano na gazeti la Amani hivi karibuni, JB amesema  siri ya kupungua kwake ni kupunguza kulakula hovyo na ndiyo maana ameweza kupungua kwa haraka huku mazoezi pia yakihusika.

Mwanzo nilikuwa napenda sana kula vyakula, ndiyo maana nilikuwa na mwili mkubwa, lakini sasa hivi siendekezi tena kulakula hovyo, na ninahakikisha nafanya sana mazoezi, ndiyo maana unaona nimeweza kupungua kwa haraka”.

Lakini pia Kwenye mtandao wa Instagram JB aliandika siri yake:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.