JB- Siwezi Kuwa Mrithi Wa Mzee Majuto

Muigizaji wa Bongo movie Jacob Stephen maarufu kama JB amesema hata siku moja hawezi kuwa mrithi wa Marehemu Mzee Majuto.

Mzee Majuto alifariki mwezi uliopita baada ya kuugua kwa muda mrefu, Ingawa alikuwa na umri mkubwa Mzee Majuto alikuwa mmoja wa komedian mkubwa sana Tanzania.

download latest music    

Katika mahojiano aliyofanya na Global Publishers, JB amesema mashabiki wengi wamekuwa wakimwambia kwamba yeye ndiye mrithi wa Mzee Majuto, lakini haiwezekani kushika nafasi yangu maana alikuwa na ladha yake na yeye ana ladha yake katika uigizaji.

Haiwezekani mimi kuwa mrithi wa Mzee Majuto maana alikuwa na kitu cha tofauti sana na alipendwa na watu wengi hivyo ni vigumu kuwa mrithi wake ila ninawaahidi Watanzania kuwafurahisha kwa kadiri ya uwezo wangu katika kuigiza”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.