Je Harmorapa nimkali kuvaa kumshinda Dogo Janja?

Image: Harmorapa

Inaonekana Harmorapa anafurahia kuandikwa kwenye magazeti kila kichao. Kila wakati msanii huyu kutoka bongo ako kwenye mitandaoni kutafuta kiki lakini kwa sababu inamsaidia kupata pesa, basi Harmorapa hatawacha hadi afike anapotaka.

Wakati huu, Harmorapa ameamua kumuingilia Dogo Janja kwa kusema msanii huyu hawezi kuvaa vizuri kama yeye. Kulingana na Harmorapa kuwa yeye huvaa nguo kali kitu ambacho Dogo hawezi fikia.

download latest music    
Dogo Janja
Dogo Janja

Akizungumza kwenye interview Harmorapa alisema,

“Dogo Janja asijinadi sana kwenye kuvaa, mwambie tupo wanyamwezi kama sisi tunavaa pamba kali. Najua na yeye ni mkali wa kuvaa lakini mimi ni mkali zaidi kwenye hizo, kwanza angalia jinsi nilivyotupia leo, kinyamwezi,”

Harmorapa aliendelea kwa kudai kuwa Dogo Janja bado ni mtoto mkubwa mbaye anajaribu kufanya msmbo ya watu wakubwa.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua