Jeshi La Magereza Lathibitisha Taarifa Za Uhuru Wa Lulu

Siku ya jana alfajiri kuna taarifa zilisambaa kuwa Muigizaji Elizabeth Michael maarufu kama Lulu ameachiwa huru kutoka Kwenye kifungo chake.

Lulu alihukumiwa kwenda miaka miwili jela tarehe 13 mwezi Novemba baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa mpenzi wake marehemu Steven Kanumba.

download latest music    

Jeshi la magereza lilithibitisha Tetesi za Lulu kuachiwa huru baada ya kutoa barua rasmi Kwenye vyombo vya habari ikiujulisha umma kuwa Lulu ataendelea na kifungo cha nje.

.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.