Joh Makini Atoa Sababu ya Kuimba Gospel.

Mwanamuziki Joh Makini Ambae hivi karibuni alitoa wimbo wenye maadhi ya kidini amefunguka na kusema kuwa aliamua kutoa wimbo huo ikiwa kama ishara ya kuwafikishia watu ujumbe juu ya kile Mungu anamfanyia katika maisha yake.

Joh makini anasema wimbo huo hautakuwa wa kwanza kuimba kwa sababu anampangwa kuimba nyimbo za aina hiyo kila mara atakapokuwa akipata idea kwa sababu Mungu ni kila kitu kwake.

download latest music    

Hakuna mtu ambae hafahamu kuwa mungu ni kila kitu katika maisha yetu,nimeimba wimbo huu kwa mashabiki zangu ili kila mtu ajue kuwa swala la Mungu kuwa anatifanikisha katika maisha yetu sio swala la kumuachia yeye tu, sisi pia tunatakiwa kupambana kwa njia zetu ili na yeye aweze kubariki njia hizo ili kupata kile tunachotamani.”

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.