Jokate Aja na Tokomeza Zero Kisarawe.
Mwanadada Jokate amliyewahi kuwa mrembo wa miss tanzania lakini kutoka na juhudi alizoonyesha mh rais alimuamini na kumpa kiti cha ukuu wa wilaya ya Kisarawe anazidi kuonyesha nguvu na nia yake ya kutaka kuwasaidia vijana hasa katika kampeni yake mpya ya tokomeza zero katika wilaya ya kisarawe.
Jokate anasema kuwa kampeni ya kutokomeza wanafunzi wanaofeli katika shule za sekondari ilianza tangu 2017 hivyo anataka wadau mbalimbali sasa kutilia mkazo swala hilo ili kukamilisha azma hiyo.
ukimsaidia mtoto akaweza kupata elimu unakuwa umeweza kusaidia Tanzania nzima,na mimi kuanzia sasa nataka tuanze na kidato cha nne na sita tufute hizo zero na zisiwepo kabisa.
Jokate anasema kuwa nia yake kubwa ni kuwasaid awatoto katika elimu lakini pia inabidi kuweka mazingira safi kwa ajili ya kuepuka na kila kishawishi .