Jokate Aonesha Mapenzi Yake kwa Watoto, ni Baada ya Kuwafadhiri Katika Soka
Mwanadada ambae siku za karibuni amekuwa akishindwa kutabirika kutokana na kujikita sana katika kutoa misaada katika jaii kwenye mambo mbalimbali ameibuka tena na kuwaonyesha watoto wa kiume hasa wanaopenda mpira kuwa yuko nao pamoja.
Jokate ambae aliungana na Shaffih Dauda katika hilo ameweza kumfadhiri na kutembelea baadhi ya familia za vijana ambao watashiriki Ndondo Cup mwaka huu na kuwatia moyo wa kuendeleza vipaji vyao.
Akiandika katika ukurasa wake wa instagram, Jokate aliweka baadhi ya picha akwa pamoja na vijana wanaopenda soka na kuwepo pamoja na baadhi ya familia za vijana ho huku akiseamkuwa ameweza kumuunganisha kijana huyo na Shafih Dauda katika Foundation yake ya kukuza vipaji vya vijana katika soka ili kumfisha mtoto huyo katika daraja la soka analolitaka.
Jokate anaonyesha kuamua kutimiza aahadi yake aliyoiweka mapema mwaka huu kuwa kwa sasa anaamua kujikita zaidi katika kutoa huduma kwa jamii kwa sababu anaamini kuwa kuna watu wengi sana wanahitaji kuinuka hasa pale wanaposhikwa mikono.
jokate akiwa na kijana hazzard ibrahim pamoja na Shaffih Dauda
akiwa na familia ya kijana aliyempa ufadhili