Jokate Mwegelo Azikingia Kifua Tuzo Za SZIFF

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ambaye pia ni mlezi wa tuzo za sinema zetu ametoa pongezi kwa uongozi wa Azam ambao ndio  waandaaji wa tuzo hizo , na ametoa ushauri kwa wasanii walioshiriki katika tuzo hizo huku akiwahakikisha tuzo kubwa hutoka kwa mashabiki.

Kupitia ukurasa wake wa instargram, Jokate amesema anaamini Tuzo hizo zinachamsha tasnia ya filamu nchini, ambapo amesema yapo mapungufu machache yaliyojitokeza ni moja ya vitu vya kujifunza.

download latest music    

https://www.instagram.com/p/BuRWBgDnZxw/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1ijmoq1f5xm5m

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.