Joti Atoa Ufafanuzi Kuhusu Kubomolewa kwa Nyumba Yake.

Asubui kulikuwa na habari pich zikisambaa kuhusu nyumba yaa msanii Joti kuwekwa alama ya x ikimaanisha kubomoa na pia ikasemekana kuwa nyumba hiyo imejnegwa katika eneo la barabara hivyo inabidi kubomolewa, lakini msanii huyo ameona kuwatoa wasawasi mashabiki wake na kuwaambia taarifa rasmi kuhusu swala hilo.

Akiongea na Clouds fm, msanii Joti anasema kuwa ni kweli eneo wanalikaa kuna upanuzi wa barabara lakini swala hilo halitaathiri nyumba nzima bali watatakiwa kubomoa ukuta tu.

download latest music    

wanapanua barabara huku kwetu lakini upanuzi wa barabara hautahuisha kubomolewa kwa nyumba bali ni ukuta tu, wengi wamejua kuwa ni nyumba lakini sio nyumba ni ukuta tu.Aliongea joti.

Kwa mujiwa wa Afisa Manispaa huko kigamboni anasema kuwa katika eneo hili nyumba kama 100 ziliwekwa alama kwa ajili ya kupisha upanuzi wa barabara wa eneo hilo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.