Jux Afunguka Kutofanya Kolabo Kimataifa
Msanii wa muziki wa bongo fleva Juma Jux amefunguka na kutoa sababu yake kubwa kwanini kwa sasa yeye hafikirii kufanya kolabo na wasanii wa nje.Jux anasema kuwa pamoja na kwamba ikitokea kolabo na msaniiwa nje ikawa nzuri inaweza kumpa mafanikio makubwa msanii lakini kwa sasa hafikirii hilo.
Jux anasema kuwa haiwezekani msanii kufanyua kolabo na msanii wa nje ambae unakuwa hauna mazoea nae wala hamjawahi kufanya kazi ya pamoja wala kujuana.Jux anasema kuwa madhara ya kufanya hayo ni kubembelezana sana katika kuitangaza kazi na pia kunakuwa na dharau sana kwa sababu hamjuani.
huwezi kufanya kolabo na msanii tu ambae hakujui na wala haumui unakuwa umemdandia tu , kwenye kufanya kazi kuna kua na dharau, kwenye ku-promote kuna kuwa na kubembelezana kwaio ni bora nifanye kazi byser ambae najua ngoma ita-hit na kufanya vizuri kabisa na kunifikisha mbali.