Kajala Afunguka Baada Ya Mwanaye Kufeli

Muigizaji wa filamu za Bongo movie Kajala Masanja maarufu kama Kay amefunguka kwa Mara ya kwanza tangu Wiki iliyopita matokeo ya Mtoto Wake Paula yalivyotoka na kuonyesha kuwa amefeli.

Stori iliyotrend Wiki iliyopita Baada ya matokeo ya kidato cha kutoka ni matokeo ya Mtoto wa Kajala na mtayarishaji wa muziki mkongwe Pfunk Majani, Paula kutoka kuwa amepata daraja la nne.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Kajala alisema kuwa inasikitisha kuona watu wazima wanamrushia maneno makali mtoto wake na ya kumkatisha tamaa lakini yeye kama mzazi hawezi kumuacha asimuendeleze kwa sababu tu kafeli mtihani ambao anaamini hata wanaomtolea maneno mwanaye walifeli pia.

Mimi kama mzazi siwezi kufurahi maneno wanaomrushia mwanangu kwa sababu hata kufeli kwake siyo sababu ya kushindwa kumuendeleza kielimu na mimi kama mama nitamsimamia Paula, mpaka atafika chuo kikuu na watu hawataweza kuamini na kingine wamuache mtoto wangu jamani”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.