Kajala Akumbwa na Skendo ya Kubeba Ujauzto na Kurudiana na Majani

Mwanadada kajala masanja amejikuta aksema tena katika mitandao kwa kile kinachodaiwa kuwa amerudiana na baba ya mtoto wake wa kwanza paula , mwanaume huyo ambae alikuwa katika industry ya muziki tangu zamani na kujipatia umaarufu wake kutokana na kazi anaejulikana kama majani alishawai kukaa na kajala na kufanikiwa kupata mtoto mmoja wa kike.

katika ukurasa wake wa instagram ,siku chachezilizopiata kajala aliweka picha na baba yake na aula na aula mwenyewe huku akimtakiwa kheri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Majani.

download latest music    

 

Katika ukurasa wa Kajala aliweka picha hii siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Majani

hata hivyo baaadhia ya kurasa katika mitandao ya kijamii imekuwa ikisema kuwa wawili hao kwa sasa wapo pamoja na kwamba kajala kwa sasa ni mjamzito.

 

Moja ya watu wanaomfahamu kajala akitoa taarifa hiyo

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.