Kajala Atangaza Kujiweka Mbali na Mabifu Kwa Mwaka Mpya

Staa wa filamu za Bongo movie Kajala Masanja amefunguka na kuweka wazi kuwa amedhamiria kuumaliza mwaka 2018 vizuri bila mabifu na watu na pia kuuanza mwaka 2018 vizuri.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Kajala amefunguka na kusema kuwa anamuomba mno Mungu aanze mwaka ujao akiwa hana adui na hata kama kutakuwa na mtu amemkosea, ataenda kumuomba msamaha kwa sababu anataka kufunguliwa mambo yake.

download latest music    

Kabla ya kumaliza mwaka huu, sitaki kuwa na bifu na mtu na hata kama kuna mtu nitakuwa nimemkosea, nitamfuata mwenyewe na kutaka mwaka unaokuja tuuanze vizuri, mambo ya mabifu yanafunga bahati na mambo mazuri“.

Kajala ni moja kati ya wasanii ambao wamekuwa na mwaka mzuri wa 2018 ikiwemo kuwa na kazi nzuri na kujiheshimu kwa kuepuka skendo kwenye mitandao ya kijamii.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.