Kauli ya Dogo Janja Yawashtua Mashabiki.

Katika ukurasa wake wa twitter msanii Dogo janja amewashtua mashabiki zake baada ya kuweka ujumbe ambao kidogo umeashiria kama mtu aliyekataa tama kabisa na maisha hivyo kujikuta akiongea vitu vinavyoashiria kutaka kupoteza uhai.

Msanii huyo ambae hapa karibuni lizivuma tetesi kuwa alilazwa huku sababu kubwa ikiwa ni presha na mshtuko alioupata baada ya kugomabana na mke Irene uwoya ambae wamefunga ndoa mwanzoni mwa mwaka huu.

download latest music    

Hata hivyo Dogo janja alipoulizwa kuhusu maneno hayo alikri kuyaandika huku akisema kuwa hiyo ni baadhi ya mistari katika nyimbo yake mpya huku akikataa kuongelea swala la yeye na mkewe.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.