Kesi ya Babu Tale Yaonekana Kuwa Bado Ngumu.

Kesi inayomkabili meneja ya tip top connection babu tale bado inaonekana kuwa  ngumu kutokana na uzito wake baada ya wawili hao kuitwa tena mahakamani kwa ajili ya kusikiliza kesi hiyo.babu tale ambae anashitakiwa na mahakama akisimama kamammwakilishi wa tip top connection kwa kosa la kurudufu cd za mawaidha ya shekhe huyo bila ridhaa yake .

Hata hivyo hukumu ya kesi hiyo iliyowahi kutolewa hapo kabla ilimtaka babu tale kutoa fidia ya milion 250 kwa shekhe huyo lakini babu tale hakutekeleza swala hilo.

download latest music    

Kesi inazidi kuwa nzito kwa sababu hakimu aliyetoa hukumu hiyo inasemekana alisaidi hati ya hukumu hiyo akiwa amekwisha staafu na kwamba hata  msajili wa mahakama aliyesimamia kesi hiyo hana mamlaka ya kutoa hukumu ya kufungwa kwa mshtakiwa .

Hata hivyo baada ya mvutano wa muda mrefu, mahakama imepanga  kukutana tena na pande zote mbili juni 25 mwaka huu tena.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.