Kesi ya Wema Kuhairishwa Tena.

Kesi ya mwanadada Sema sepetu imehaishwa tena mpaka mwezi  ujao tarehe 12  ilipokuwa imetajwa na kusikilizwa tena leo katika mahakama ya kisutu.

Mwanadada Wema Sepetu anashitakiwa na TCRA kwa kosa a kuchapisha video chafu akiwa faragha na mpenzi wake  hapo siku za nyuma na wema amekuwa huru kwa dhamana kutokana na kesi hiyo.

download latest music    

Hata hivyo kesi hiyo bado inaonekana kumtesa Wema ukizingatia kuwa hana muda mrefu tangu amekuwa na ksei nyingine ya kukutwa na madawa ya kulevya.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.