Kifesi Amjibu Esma Kuhusu Kufukuzwa Kazi Wcb

Aliyekuwa mpiga picha maarufu kutoka kundi la Wcb ambae aliajiriwa kwa kazi maalum ya kupiga picha alitangaza kuacha kazi hiyo kwa madai kuwa anataka kuendelea na kufanikisha ndoto za maisha yake ambazo anaona kabisa hawezi kufanikiwa kama atakuwa hapohapo kila siku, lakini pia alisema kuwa ameamua kufanya hivyo kwa sababu anataka kumrudia mungu wake kwa sababu kwa muda mrefu  amekuwa akifanya kazi kinyume na maadili ya dini yake.

Lakini cha kushangaza  na kwamba baada ya kifesi kutangaza na kutoa tamko ilo, dada wa msanii Diamond Platinumz aliweka comment chini ya post ya Kifesi katika ukurasa wake wa instagram na kufichua siri kuwa , kifesi ni muongo ajaacha kazi bali amefukuzwa na bosi wake.

download latest music    

acha uongo kifesi, umefukuzwa kazi kwa kucha kufatilia maisha ya bosi wako, yametushinda sisi wewe mtu baki utayaweza-Aliandika hivyo Esma.

Hata hivyo kifesi aliamua kujibu tuhuma hizo na kukanusha kuwa hajawahi kufukuzwa kazi WCB na hata swala la kuktetea zari hajaanza kulifanya leo.

Hapana sijawahi kuachishwa kazi na kama niliachishwa kazi basi sikuwahi kupewa taarifa,ninachofahamu ni kwamba nimechukua maamuzi haya na nai kitu nilichokuwa nimekipanga tangu siku nyingi, so jana nikasema i think its aright time to do this.

kumtetea zari sijaanza leo na hata ukiangalia katika post zangu za insta utaona,nilikuwa nafanya hivyo ingawa pia ni swala gumu kulielezea.

Kifesi alimtetea Zari kwa Diamond na kusema kuwa kitendo cha Diamond kuachana na zari atakuja kukijutia maishani.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.