Kiki Sio Mafanikio kwa Msanii:- Nikki wa Pili

Msanii wa bongo fleva Nikki wa Pili amefunguka na kusema kuwa katika maisha ya msanii kiki sio kitu cha lazima sana mpaka kufanikisha maswala ya muziki wake kwa sababu kuna vitu vingi ambavyo anatakiwa kuvifanya katika kazi hiyo.

Niki amemjibu Master J amabe ni msanii wa muziki wa siku nyingi  aliyesema kuwa muziki  na soko la sanaa la sasa hivi ni lazima kufanya kiki ndio uweze kuuza muziki wako na sio kama zamani enzi zao.

download latest music    

Niki anasema kuwa vitu vngi vinafanya msanii kufanikisha muziki wake ikiwa pamoja na kufanya video nzuri, uhusiano mzuri na wasanii wenzake na pia kuwa karibu na mdia zitakazosaidia kusambaza muziki wake.

sio kweli kwamba muziki ndi unafanikisha maisha ya msanii mbona kuna wasanii wengi tu wanafanikiwa kwa bila kuwa na kiki wala picha za utupu, kwa mfano sisi weuzi tumefanikiwa sana bila kuwa na kiki.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.