Kisa Msiba wa Patrick, Diva Asema “Waandishi wa Habari Watapelekwa motoni

Mtangazaji wa Clouds tv, Diva the bawse amefunguka na kutoa lake la moyoni kuhusu waandishi wa habari wanavyosema maneno mengi kuhusu msiba wa mtoto wa Muna ambae amefariki siku mbili zilizopita .

Diva ansema kuwa kwa jinsi waandishi wa habari wanavyokuwa wakisema vibaya kuhusu msiba wa mtoto huyo, mungu atawachoma moto na kuwa kumekuwa na maneno mengi ya kuvunja na kuumiza moyo wafiwa .

download latest music    

ila waandishi wa habari sometimes sijui hawana mioyo,tuwe na mioyo jamana hizi views, likes na comments zitawapelka motoni, muda mwingine muwe na kumjua mungu.sio unafunga tu safari na kwenda kumhoji mtu eti mtoto wa nani.sijui hivi ebu kuwni na mioyo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.