Kisa Umbile,Linah Sanga Amtolea Povu Shabiki.

Msanii wa bongo fleva nchini  Linah Sanga amejikuta akiingia katika vita na shabiki baada ya kuweka picha ikimuonyesha umbile lake na shabiki huyo kumsema kuwa umbile hilo ni la ku-fake kamailivyo kawaida kwa wasanii kuwa wana-fake maumbo ili waonekane.

Baada ya kuweka caption iyo,shabiki aliamvamia Linah Sanga kwa kumwambia kuwa umbile alilonalo sio lake ila ni la kubambika.lina alionekana kukerwa  na maoni ya shabiki huyo ndipo alipoamua kumtolea maneno mazito na kufika hatua ya kumwita kunguru.

download latest music    

we kunguru umwetumwa eeh,sijawahi kufake shape yangu hata siku moja.usinichukulie poa mbwa wewe.

                                        

Hata hivyo baadhi ya mashabiki waliendelea kumshambulia linah kwa maneno na kumfananisha na wasanii wengine wa kike ambao wamekuwa wakitengeneza maumbo yao kwa madawa au kwa kuvaa nguo za kufanya shape ionekana sana.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.