Kitambaa cha Mkononi Cha rammy Champotoa Povu Irene Paul
Mwanadada Irene Paul ameonyeshwa kutkupendezwa na picha iliyosambaa sana katika mitandao ya kijamii inayomuonyesha rammy galis ambae aliwahi kuwa mpenzi wa Agness Masogange na aliyewahi kucheza nae filamu moja wapo inayoiywa hukumu ambayowalifanya pamoja kipindi wakiwa wapenzi.
Ukiachana na maneno mazito aliyoyaongea rammy alakini pia katika kuaga mwili wa marehemu ,Rammy alionekana kushindwa kuhimili maumivu na kuishiwa nguvu kabusa hivyo kupewa msaada na watu waliokuwa karibu nae,
Hata hivyo, picha hiyo inamuonyesha mwanaume huyo akiwa amebebwa na watu huku akiwa ameshikilia kitambaa chake mkononi ndipo watu walipoanza kupata maneno ya kongea na kusema kuwa rammy alikuwa anaigiza kuumizwa na msiba huo kwa sababu mtu aliyezimia asingeweza kukuishikilia kitambaa hicho bali angekidondosha.
Katika ukurasa wake irene aliandika”Maskini pamoja na kuzimia lakini aliweza kushika vitu vyake,wote tumeguswa na lakini pia tusifanye misiba ya wenzetu kama sehemu ya kujipatia kiki,tuheshimu misiba hiyo kama kweli tunakuwa na nia ya kuwasundikiza mwenzetu kwa upendo , na zaidi tujue kutofautisha kati ya location za filamu na dunia ya kweli,
kuna vitu vinakera na vinachefua sana , i sorru to say umebichefua leo..na bora ungejua jinsia ya kike angalau..ningelala na hili likiwa limenikaba, pumzika kwa amani AGNESS.