Kivuruge Ya Nandy Ilirudiwa Mara ya Pili.

Wimbo wa kivurge umekuwa ukifanya vizuri kila kona kwa audio na hata baadae baada ya kutolewa kwa video yake.Lakini inasemekana kuwa wimbo huo ulirudia mara ya pili na Nandy na kuufanyia haki zaidi kuliko mara ya kwanza.

Akijibu kuusu swala hilo, alikuwa mlimiki wa wimbo huo ambae pia ni msanii akijulikana kama Jay Melody anaetamba na wimbo wake wa Goroka amesema kuwa ni kweli wimbo huo aliuimba yeye lakini nany aliupenda zaidi hivyo akataka kuuchukua na ndipo waliofanya makubaliano na kuuchukua.

download latest music    

Nandy alinifuata baada ya kusikia nimeutoa na akaomba kuurudia na ndipo nilipokutana na uongozi wake na tukaweka makubaliano mazuri nikampatia, mimi ndie nilieutunga na hakuna hata kipande kilichobadilika-Aliongea Jay Melody.

Alpotafutwa nandy kuthibitisha hilo nae alikubali na kusema kweli aliupenda wimbo huo na kufanya makubaliana na aliyekuwa anaumiliki.

Ni kweli wimbo huo uliimbwa na jay melody lakini kuna makubaliano tuliyafikia ndipo nikaurudia na mimi.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.