Kufanya Comedy Ukiwaiga Wanawake ni Style ya Zamani:-Mc Pilipili

Mcheshaji maarufu nchini Mc pilipili ameponda style wa wachekeshaji wenzake kuwa wakiiga  sauti za kike na kuwa wakiigiza na kuvaa uhusika wa kike wakati wao ni wanaume,Mc pilipili anasema kuwa style hiyo ni ya kizamnai sana lakini kwa sasa wakifanya hivyo wanakuwa wanaharibu biashara yao ya sanaa ya uchekeshaji.

Mc Pilipili  nasema kuwa katika sanaa hii ya uchekeshahi zamani waliokuwa wakifuatiliawalikuwa ni kama wajinga na ndio maana walikuwa wakipenda kile walichokuwa wakiigiza  lakii sasa hivi audience inataka uhalisia na sio kuigiza igiza tu.

download latest music    

Hiyo ni style ya zamani hiyo tena zamani kabisa,kwa upande wengi sijaikubali kabisa na hao wengi ni wale wacheshi wa mitandaoni,lakini mimi ni professional na hii ni kazi yangu na audience wa sasa hivi sio wajinga kama wale wa zamani, na kama unakuwa mwanaume alafu unaigiza ki kike wakati wewe ni mwanaume kuna kuwa hakuna reality unakuwa unawachanganya tu watu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.