Kufanya Comedy Ukiwaiga Wanawake ni Style ya Zamani:-Mc Pilipili
Mcheshaji maarufu nchini Mc pilipili ameponda style wa wachekeshaji wenzake kuwa wakiiga sauti za kike na kuwa wakiigiza na kuvaa uhusika wa kike wakati wao ni wanaume,Mc pilipili anasema kuwa style hiyo ni ya kizamnai sana lakini kwa sasa wakifanya hivyo wanakuwa wanaharibu biashara yao ya sanaa ya uchekeshaji.
Mc Pilipili nasema kuwa katika sanaa hii ya uchekeshahi zamani waliokuwa wakifuatiliawalikuwa ni kama wajinga na ndio maana walikuwa wakipenda kile walichokuwa wakiigiza lakii sasa hivi audience inataka uhalisia na sio kuigiza igiza tu.
Hiyo ni style ya zamani hiyo tena zamani kabisa,kwa upande wengi sijaikubali kabisa na hao wengi ni wale wacheshi wa mitandaoni,lakini mimi ni professional na hii ni kazi yangu na audience wa sasa hivi sio wajinga kama wale wa zamani, na kama unakuwa mwanaume alafu unaigiza ki kike wakati wewe ni mwanaume kuna kuwa hakuna reality unakuwa unawachanganya tu watu.