Kuna beef? Idris Sultan na Harmonize wachanana mitandaoni ya kijamii

Image: Idris Sultan

Inaonekana kuwa Idris Sultan na Harmonize wameanza beef ambayo imewaacha mashabiki kama wameduwaa bila kujua ni yupi watampa support kwa kuwa wawili hawa ni mastaa wakubwa Bongo.

Kupitia mtandao wa Instagram, Idris Sultan alionekana akimtania Harmonize bila kujua kuwa muimbaji huyu hapendi mchezo. Idris aliandika kusema,

download latest music    

Ogopa rapa wako anapo kiki kuliko wewe. Inabidi mbadilishane wewe ndo uwe rapa.

Harmonize naye hakuchelewa kumjibu Idris Sultan huku akimchana kuwa anaskia kuwa amewekwa na mwanaume mwenzake na kuwa hakuwa na pesa anavyojigamba. Kupitia Twitter Harmonize aliandika kusema….

Nasikia unalala Mbezi kwa mwanaume mwenzio daa huruma. Kwani ulishindaga shilingi ngapi South…??? Mbaya zaidi nasikia unamarinda.

Idris naye kupitia Instagram alimjibu kwa kuposti picha hii na kuandika..

Idris Sultan

Acha nicheke tu, ntafanyaje sasa. Kumpiga nzi risasi ntamuonea maskini. Huyu ni makofi tu ??? #MarindaNimekuaSketiYaShule …. KARIBU KIUMENI ??

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua