Kwa Hadhi yangu Siwezi Kutafuta Kiki kwa Mtoto mdogo :-Ray C

Mwanadada Ray c amefunguka na kusema kuwa kwa hdhi yake kubwa aliyonayo hawezi kukaa akanza kutafuta kiki kwa watoto wadogo ambao wanamtafuta katika mitando ya kijamii kama ambavyo watu wamekuwa wakimfikiria.

Ray c ambae aliwahi kuwa msanii mkubwa sana afrika mashariki amejikuta akiwa katika wakati mgumu baada ya kujiingiza katika mambo ya kuwa na TEAMS hasa baada ya kuanza kumshambulia mwanadada Hamisa mobeto na ndipo wafuasi wa hamisa walipoanza kumtukana na kumwambia kuwa amekuwa akitafuta kiki.

download latest music    

Ukiona nimeongea kitu katika mtandao ujue kabisa kuwa kitu icho kimenigusa sana,mimi siweiz kutafuta umaarufu kupitia mgongo wa watu.Mimi nina jina kubwa sana afrika mashariki , wala sihitaji kiki au kitu chochote kwa sabau hata nikipita mtaani wanajua kuwa yule Ray c kapita.

Ray c anasema kuwa kama asingekuwa na jina basi angesema kuwa anfanya hivyo ili kutafuta kiki lakini hana muda kwa sababu tayari anajulikana sana,  pia ansema kuwa hata hao wanaosema anatafuta kiki ni watoto wa juzi tu wakati yeye alishafanya mabo mengi sana ktika game la muziki.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.