Kwa Sasa Sihitaji Msaada Wowote wa Watanzania:-Wastara

Msanii wa maigizo Wastara Juma ambae hapo awali alikuwa akikaririwa kuomba msaada wa watanzania ili kuweza kufanikisha maswala ya matibabu nje ya nchi amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hana mahitahi yoyote ya msaada kutoka watanzania ila maombi yao tu kutokana na magonjwa anayoomba.

Wastara ambae alirudi kutoka nchini India kwa matatibabu na msaada huo alipatiwa na watu mbalimbali akiwepo rais wa tanzania, anasema kuwa anaomba watanzania wamuombee sana kwa sababu kwa sasa atakuwa akitumia dawa maisha yake yote.

download latest music    

Kwa sasa kwakweli sihitaji msaada wowote kwa watanzania zaidi ya maombi yao ili nizidi kuendelea vizuri,kinachonisumbua kwa sasa ni matatizo ya mgogo na kichwa kuna dawa nimeandikiwa na daktari maisha yangu yote.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.