Laizer Aliwahi Kufanya Kazi na Alikiba Kabla ya WCB

Mtayarishaji wa nyimbo kutoka wcb amefunguka  na kutoa orodha ya wasanii aliowahi kufanya nao kazi hapo awali kabla ya kuingia na  kufanya kazi na WCB , laizer amewataja watu hao kama Ommy Dimpozi, Alikiba, Sharo Milionea .

Kabla ya kuja WCB niliwahi kufanya kazi na wasanii wakubwa sana m nakumbuka nilisahwahi kufanya kazi na ice prince zaman wa nigeria, nakumbuka nilishawahi kufanya kazi na  Ommy Dimpozi niliwahi kufanya kazi na Alikiba pamoja na marehemu Sharo Milionea.

Pamoja na kufanya kazi na wasanii mbalimbali lakini kwa sasa,Laizer ame-settle na kufanya ngoma nyingi na kazi nyingi za WCB na ngoma hzo zimekuwa gumzo katika kazi za wasanii wa WCB

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.