Lava Lava- Hamisa Mobetto Ananikubali Sana

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva kutoka label ya WCB Lava Lava amefunguka na kusema kuwa mzazi mwenza wa Diamond Platnumz Hamisa Mobetto anamkubali sana.

Siku chache zilizopita Hamisa Mobetto aliposti video clip kwenye mtandao wa Instagran iliyomuonyesha akiimba Wimbo Mpya wa Lava Lava unaoitwa ‘Atatulia’.

download latest music    

Kwenye Interview yake na The Playlist ya Times Fm, Lava Lava amesema katika jitihada zake za kutoka kimuziki Hamisa Mobetto amekuwa na mchango pia.

Nashukuru sana nyimbo zangu kina dada huwa wanazipokea kwa mikono miwili, hajalishi wapo kwenye hali gani.

Katika watu waliowahi kunionyesha ile love ambayo sikuwahi kuitegemea wala kuwaza ni huyo Hamisa Mobetto kwa utokaji wangu, alishanifuata akaniambia nakukubali sana, kwa hiyo ni sabaiki yangu namba moja”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.