Lavalava Azimia Jukwaani , ni Baada ya Kupigwa Busu na Shabiki.

Kuna video inasambaa katika mitandao ya kijamii ikimunyesha msanii kutoka WCB, Lavalva akiwa jukwaani ana-perform na mara akapigwa busu na moja ya mashabiki zake wa kike aliyepanda jukwaani hapa na ghafla msanii huyo kudondoka na kuzimia.

Msanii huyo ambae baada ya kuzimia ilibidi kupatiwa huduma ya kwanza na kisha kusomewa dua na ndipo alipoamka  , haiafahamika kama swala hilo amelifanya kwa kiki au ilikuwa kweli alikuwa katika hali hiyo.

download latest music    

Hata hivyo hakuna kiongozi yoyote katika kundi hilo alielisemea hilo wala yeye mwenyewe kuhushu tukio hilo ambalo liliwashangaza wengi na kuwafanya mashabiki waanze kuimba kwa nguvu kuwa msanii huyo amekufa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.