Lemutuz Amtaka Rich Mavoko Ajirudi na Kuwaomba Msamaha WCB

Mdau wa mambo ya sanaa na mwanasiasa William Malecela maarufu Kwenye mitandao ya kijamii kama Lemutuz amemfungukia Rich Mavoko na kumtaka amalize mgogoro wake na iliyokuwa Label yake WCB.

Wiki iliyopita Rich Mavoko aliwaburuza WCB, Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) kwa madai ya mikataba mibovu ambayo amedai imemnyonya na kutompa maslahi ya kufaa.

download latest music    

Baada ya sakata hilo Lemutuz amepima uzito suala hilo na kumshauri Rich Mavoko arudi WCB awaombe msamaha ili asiondoke kwa shari kwani hajui kesho yake ikoje.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lemutuz ameandika:

https://www.instagram.com/p/BmYiv0XgHtg/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=748bchr3azkz

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.