Licha ya Kuwa na Mtoto, Queen Darleen ni Bikra.

Haitakuwa mara ya kwanza kwa mwanadada Queen Darleen kukaa katika media na kutangza kuwa yeye bado bikra ukiachana na kuonekana kuwa yeye ni mcharuko mbele ya watu, hata hivyo wa habari za kutoka kwa watu wae wa karibu inasemekana kuwa mwanadada huyo ana mtoto mmoja mkubwa alyewahi kuzaa huko miaka ya nyuma.

Mwanadada huyo kutoka katika lebo kubwa kabisa nchini na inayofanya vizuri katika muziki yaani WCB , Queen Darleen amesema kuwa watu wanatakiwa kuamini kuwa yeye bado bikra na ametulia sana kulikoa hata vile wanavyomuona katika sehemu mbalimbali.

download latest music    

Queen Darleen anasema kuwa watu wengi wamekuwa wakimuona kama vile hana sifa za kuwa mwanamke bora, mwanadada huyo anajitetea na kusema kuwa anafaa kuolewa na mwanaume bora na kwamba anasifa zote za kuolewa sio mapepe kama wanavyofikiria.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.