Linex Alizwa Kisa Mapenzi,Akumbua Mengi ya Nyuma na Mpenzi Wake.
Mwanamuziki wa muda mrefu Linex Sunday Mjeda amefunguka na kuonyesha jinsi kumbukumbu ya mapezni ambavyimekuwa ikumuumiza kwa zaidi ya miaka miwili sasa tangu alipoachana na mwanamke aliyekuwa akidhani kuwa ndie atakuwa mke wake wa ndoa.
Miaka miwili iliyopitalinex aliwahi kutambulisha wimbo wake ambao aliyekuwa video queen ambae alivaa shela la harusi alikuwa ndie mpenzi wake na walikuwa wamepanga kufunga ndoa, lakini kwa sasa hawapo tena kitu ambacho mpka sasa ,linex amekuwa akikikumbuka na kumuumiza sana.
katika ukurasa wake wa instagram linex aliandika”i wish haya yasingekuwa mapito daah saizi si ningekuwa zangu mme wa mtu na mimi kama wenzangu…daah i miss rica and still love you.”
Linex anazidi kuumiza pale anapoona wasanii wengine wenzake wakiwa wanasonga mbvele na kufunga ndoa na maisha yakiwa yanaendelea.