Lucy Komba Ammwagia Mapovu Irene Paul.

Mwanadada Lucy Komba amemtolea povu msanii mwenzake irene paul kutokana na ukweli kwamba amekuwa akishindwa kumapa yeye credit na shukrani kwa kuwa yeye ndi ealimsaidia kutoka katika movie na wala sio wakina ray au kanumba ambao mara nyingi amekuwa akiwataja katika media.

Lucy Komba anasema kuwa  yeye ndie aliemfundisha irene kuigiza na kumpa nafasi katika katika movie ya cleopatra na fedheha ambapo ndipo kipaji chake kilianza kuonekana akiwa chini ya uangalizi wake yeye,.

download latest music    

Katika post yake lucy komba aliandika cleopatra  na NANI KAMA MAMA ni movie mbili zenye stori tofauti , utunzi wake ulikuwa wa kipekee kabisa na hakuna aliyeweza huu utunzi.na ni msanii mmoja tu aliyeweza kucheza party zote mbili katika nafasi tofauti tofauti.lakini pia hiyo ndip picha ya kwanza ya angelina jolie asietaka kujishusha.

Hata baada ya kuandika hayo waandishi waliamua kumtafuta Lucy ili kuelezea kwa undani maneno hayo na ndipo aliposema kuwa Irene  paul anasumbuliwa na kutokujielewa na kuvimbiwa ustaa wa bongo, na kushindwa kukumbuka kuwa yeye ndie alimuibua katika sanaa.

Lucy anasema amewatoa wasanii kama Jackline Wolper,Yusup mlela, Mzee chilo na hata Irene uwoya.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.