Lulu Aanza Kutumikia Kifungo Chake Cha Nje Rasmi

Muigizaji wa Bongo movie Elizabeth Michael ameanza kutumikia rasmi kifungo chake cha nje siku ya jana baada ya kuonekana kwa mara ya kwanza alitoka katika jengo la Wizara ya nje.

Lulu amekuwa akioneka akifanya kazi ya usafi katika jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani jijijni Dar es Salaam tangu Jumatatu wiki hii Ikiwa ni sehemu ya kazi za jamii atakazofanya.

download latest music    

Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Global Publishers umebaini kuwa mrembo huyo amekuwa akifika makao makuu ya wizara hiyo asubuhi na kufanya majukumu yake na kuondoka mnamo saa 4 au 5, kabla ya mchana.

Baada ya kumaliza kazi zake hizo za kufagia na kudeki, Lulu ambaye hufika hapo kwa gari, pia huondoka kwa gari kurejea nyumbani.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.