Lulu Aibuka na Kuvunja Ukimya.

Mwanadada Lulu Michael amejitokeza kwa mara nyingie ntena tangu alipotuma kwa mara ya kwanza katika ukurasa wake wa instagram kuhusu msiba wa mtoto wa muna na kuacha ku-post kitu chochote .Leo hii jumapili ya wikiend hii ambayo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya mpenzi wake wa muda mrefu ambae pia ni meneja wa Efm Majjizo , Lulu amejitokeza kutuma salamu.

Katika ukurasa wake wa instagram, Lulu Michael aliandika maneno mazito yenye kumshukuru na kutia moyo kwa mpenzi wake huyo wa muda mrefu huku akimtakia siku njema ya kumbukumbu  yake ya kuzaliwa.

download latest music    

Lover, Best, Bussiness partner  Ride or Die and A Shoulder  always to cry for, Asante kwa kunionyesha maana ya upendo wa Agape (KIUNGU) , Baraka za mungu zikufuate siku zote za maisha yako.Happy birthday Baba G, I love You.

Tangu Mwanadada Lulu Michael ametoka gerezani amekuwa akitumia kwa mara chache sana mtandao wake wa instagram na hata mashabiki zake kuwa wakimuulizia sana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.