Lulu Diva Aelezea maisha ya u-video Queen ni Mateso.

mwanadada Lulu Diva mabe kwa sasa anafanya vizuri sana katika maswala ya muziki hasa kwa wimbo wake mpya mabao amemshirkisha rich mavoko na kusema kuwa kwa sasa wimbo huo umemfikisha mbali sana kiasi kwamba anayaona mafanikio yake kama mmoja wa wasanii wa kike bora katika muziki Tanzania anasema kuwa hapendi kabisa kuyazungumzia maswala yake ya nyumba wa sasa.

Lulu diva ambae hapo awali aliwahi kuwa video queen kabla ya kuwa msanii wa muziki anasema kuwa hapendi kukumbuka maisha hayo ya kuwa video queen na kama mwandishi anataka kugombana nae basi amuulize kuhusu maswala hayo.

download latest music    

kwa kweli sitaki kusikia kabisa maswala ya u-video queen,ni kweli kuwa hayo ni mapito yangu na huko ndipo nilipotoka lakini sasa hivi nimeendelea na akili yangu yote ipo katika muziki ninaoufanya na uigizaji ndio ninaoufikiria zaidi.mtu unachukuliwa na kupamba wimbo wa mtu kwa malipo kidogo sana  na bado hicho kidogo unachokiangaika unakipta kwa manyanyaso.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.