Lulu Diva Alinikasirika, Nilimuongelea Kuhusu Billnass;- Juma Lokole.

Mwanahbarai kupitia mitandao ya kijaii ambae amekuwa akifanya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kufanya habari za matangazo za watu mbalimbali amefunguka nakutaja baadhi ya changamoto anazopitia katika kazi hiyo.

Juma anasema pamoja na kwamba amekuwa akipatwa na maswahibu hayo lakini mwisho wa siku kazi yak kubwa ni kuwarekebisha na kuwakosoa wengine na ndio maana mara nyingi huwa anaomba sana  watu wengine wanapomuona yeye kakosea basi ni bora pia kumsema.

download latest music    

Akiulizwa ni msanii gani aliwahi kumkasirikia kuhsu habari zake juma anajibu’ Lulu diva aliwahi kunikasirikia kabisa na hii kwa sababu nilimuongelea katika mitandao kuhusu mahusiano yake na billnass kutoka kimapenzi na tumeanza kuongea hivi tu karibuni”

Juma anasema kuwa siku akiacha kufanya kazi hiyo ya umbea anahisi anaweza kufa kabisa ‘Siku nikosa kufanya umbea nahisi nitakufa na kupungukiwa na maji mwilini. ‘

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.