Lulu Diva Atangaza Kuwa Single, Asema Hamjui Rich Mavoko.

Mwanadada Lulu Diva amefunguka na kukanusha tetesi za kusambaa kwa video iliyokuwa ikiwaonyesha yeye na rich mavoko wapo chumbani wakionekana  katika mapozi ya kimahaba .

Lulu diva ambae kwa muda mrefu amekuwa akisemwa kuwa yupo katika mahusiano ba msanii huyo ambae kwa sasa bado ana kesi nzito zidi ya waliokuwa mabosi wake kutoka katika kundi la WCB wamekuwa wakikana kla mara kuhusu ukweli wa mahusiano yao.

download latest music    

Hata hivyo kuwa kusiistiza zaidi, mwanadada huyo alisema kuwa yeye hana mahusiano yoyote na kwamba yuko single wala hamjui kabisa Rich mavoko.

Hapo awali alipowahi kuulizwa kuhusu mahusiano yake na rich mavoko baada ya kuachana na WCB ,Lulu aliwahi kukaririwa kuwa mambo hayo hayataharibu mahusiano yao lakini cha kushangaza  hivi juzi anasema kuwa hana anacho-share na Rich mavoko.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.