Lulu Diva Azungumzia ONA ilivyobadili Maisha Yake ya Muziki

Mwanadada Lulu Diva amefunguka na kuelezea mafanikio yake ya muziki tangu alipoanza mpaka alipofikia sasa na kusema kuwa kwa sasa na yeye amekuwa akijiona kuwa ni msanii mkubwa sana kutokana na wimbo wake huu mpya wa sasa hivi.

Lulu diva anasema kuwa wimbo wa ona ambao amemshirikisha Rich Mavoko ambao kwa sasa umekuwa ukifanya vizuri katika vituo mbalimbali vya radio na tv umekuwa moja ya mafanikio yake makubwa na anaona kabisa kuwa kwa sasa amepiga hatua kubwa kutokana na hilo.

download latest music    

Wimbo wa ona umenipeleka kwenye levo nyingine kabisa, kwa sasa mimi ni miongoni mwa wasanii wakubwa ambao kila siku shoo zinazidi kuongezeka tu  na hata hadi yangu pia.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.