Lulu Diva Kuanza Kutoa Misaada kwa Jamii.

Mwanadada  Lulu Diva amefunguka na kusema kuwa amekuwa akiguswa sana na maisha magumu wanayoishi baadhi ya watoto wa mitaani ambao wengine wanakuwa hawana option zaid ya kuzurura mitaani kwa sababu wanakuwa hawana wazima hivyo ina walazimu kufanya hivyo.

Lulu Diva anasema kuwa kwa muda sasa amenza kufatlia taratibu za kuweza kufungua kituo kwa ajili ya kuwale watoto yatima na anakaribia kufanikiwa katika kufanya hivyo.

download latest music    

Lulu Diva ansema kuwa pamoja na kwamba amekuwa akitoa misaada katika vituo mbalimbali lakini hiyo pkee yake haitoshi hivyo ameona ni bora kufungua kituo cha watoto yatima.

Nimefatilia tarartibu zote na nina kiwanja kipo tegeta, hivyo sasa naona ni muda muafaka wa kuwasaidia watoto yatima.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.