Lulu Diva Kutoa Album Itakayomshirikisha Cardi-B

Mwanadada sext lady amefunguka na kukiri kuwa kwa sasa nyimbo na muziki unazidi kuendelea hivyo wanaitaji kwenda na mfumo mpya ambao wasaniiwengine wameshaanza kuufuta wa kutoa nyimbo zao kwa mfumo wa album na hata yeye yuko njiani kufanya hivyo.

Lulu Diva anasema kuwa baada ya kuamua kufanya hivyo, msanii wa kwanza wa nje ambae anataka kufanya nae kazi atakuwa ni Cardi-B ambae anatarajia kumuweka album yake ya kwanza.

download latest music    

Lulu Diva anasema kuwa kufanya kazi kwa mfumo wa labum kuna leta hshima kwa msanii lakini pia kunaweka  historia ya muziki wa msanii, hivyo basi anaamua kumuweka mwanadada huyo kwa sababu anaamini kuwa atamsaidia kutangaza muziki.

Najianda kufanya album kama ambavyo wasanii wakubwa wanavyokuwa wanafanya,na hivi karibuni tu nitafanya kama wasanii wengine wakubwa duniani wanavyofanya, album yangu itasheheni wasanii wengi na wakubwa ndani na nje ya nchi  na nina mpnago wa kumshirikisha Cardi -B , nitafurahi sana kama kazi zangu zitakuwa ni za kimataifa.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.